ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 20, 2011

USIKU WA JANA STONE......

Wakazi wakijinafasi kwa raha zao.

Khadija Kopa akimwaga burudani ndani ya ming'aro ya usiku wa mwambao stone club.

Ma-VIP na kona yao, kushoto kabisa ni mshereheshaji wa usiku huo toka clouds TV, Sakina Lyoka wa kipindi cha muziki wa Taarab kiitwacho Ng'aring'ari, ambaye vilevile alikuwa akichukuwa baadhi ya matukio yatakayoonekana ndani ya kipindi chake.

Maneno 'kuntu'.

Sabaha Salum akiwatunukisha mashabiki wake burudani.

Usiku huo wa utofauti ambao sijapata kuona ulikuwa wanukia ile kisawasawa, nauliza: naambiwa ni mambo ya marashi ya udi uturi toka Ughaibuni.

Askwambie mtu, samaki wa Mwanza wanafaida.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.