MASHADANKA YAKIWA KATIKA GLOVS ZA KIPA WA TOTO ALIYOKUWA AMEHIFADHI GOLINI MWAKE HATIMAYE YALIFUKUNYULIWA NA MNAZI MOJA WA SIMBA (ANAYEYAANIKA KWA WANDISHI WA HABARI), DAKIKA CHACHE BAADAYE SIMBA WALIOKUWA HAWAONANI WAKAANZA KUONANA, MUSSA HASSAN MGOSI AKAFUNGA GOLI LA KWANZA NABADAE RAMADHANI CHOMBO 'REDONDO AKAONGEZA JINGINE WAKATI SIMBA ILIPOPATA USHINDI WAKE WA 14 MFULULIZO BAADA YA KUIFUNGA TOTO 2-0.
SHABIKI HUYO ALIYEWAUMBUA TOTO ILE KIPUTE KINAMALIZIKA TU NA REFA KUPULIZA KIPYENGA KUASHIRIA NGOMA METII ALIANGUKA UWANJANI HAPO NA KUANZA KUPEPEWA. SAMBAMBA NA HILI VYUMBA VYA KUBADILISHIA NGUO WACHEZAJI VILIKUTWA VIKIWA VIMETAPAKAA DAMU ISIYOJULIKANA NI YA MNYAMA GANI.
Marwan Issa: Marekani yatangaza kuuawa kwa kiongozi wa Hamas Gaza
-
Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani Jake Sullivan alithibitisha
katika taarifa fupi kwamba Naibu Kamanda Mkuu wa Brigedi za Al-Qassam -
tawi la kijes...
1 hour ago