ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 18, 2010

UHURU PEAK LAGER NDANI YA SENGEREMA.

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweriers jana iliendelea na zinduzi zake kuitambulisha bia yake mpya Uhuru Peak Lager kama hatua ya kuendelea kukuza soko la la bidhaa zake hapa nchini. Uzinduzi wa jana ulikuwa ni ktk Wilaya ya Sengerema mjini.

Sengerema ni moja ya wilaya zinazokua kwa kasi hapa nchini na hivyo Kampuni ya Serengeti imeona ni bora kuitambulisha bia hiyo kwa wakazi wa mji wa huo na vitongoji vyake ili nao wajivunie kwa kupata kile kilicho bora.

Bia hiyo yenye ujazo wa mililita 350 ikiwa na asilimia 5.8 ya kilevi, tayari imeshaanza kuuzwa katika mikoa mbalimbali ya Kanda ya Ziwa na wilaya zake; kwa mji wa Sengerema ni wiki ya pili sasa tangu bia hiyo iingie sokoni.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.