ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 13, 2010

KILI STARS: MERRY CHRISTIMAS TANZANIA.

Kocha mkuu wa Kilimanjaro Stars,Jan Poulsen akimshika mwari pamoja na nahodha wake Shadrick Nsajigwa.Kikosi kizima cha Kilimanjaro Stars bingwa mpya kombe la Tusker Challenge 2010 katika picha ya pamoja.Stars wameibuka na kombe na kitita cha US$ 30000/= -hongera Kilimanjaro Stars,Hongera Tanzania.

KIKOSI BINGWA CHA Kilimanjaro stars. Stars iliwakilishwa na Juma Kaseja, Shadrack Nsajigwa, Stephano Mwasyika, Kelvin Yondani, Juma Nyosso, Jabir Aziz, Shaban Nditi, Nurdin Bakari, Idrissa Rajab/Kigi Makasi/ Haruna Shamte na John Bocco/Henry Joseph.

KIKOSI CHA Ivory Coast, Kiliwakilishwa na Sangare Badra, Goua Mahan/Kouadio Konan, Wawa Serge, Kouame Desire, Bile Georges, N’goran Kouassi, Coulibaly Tiecoura, Kone Mahamadou/Kipre Tchetche, Kipre Balou na Dion Sede/Guy Herve.

Nahodha wa Kili Stars,Shadrack Nsajigwa akifunga Bao la ushindi lililopatikana kwa njia ya penati nara baada ya .

Waziri wa habari, vijana utamaduni na michezo dr emmanuel nchimbi akikabidhi nahodha wa timu ya Kilimanjaro stars, shadrack nsajigwa mfano wa hundi mara baada ya kuibuka washindi katika michuano hiyo na hatimaye kunyakua kombe la cecafa pia.

Kipa wa Kilimanjaro Stars Juma Kaseja akionesha tuzo yake ya kipa bora wa Tusker challenge 2010. Kuhusu kupewa jezi na shabiki wakati mchezo ukiendelea, alisema hiyo inaonyesha ni jinsi gani mashabiki wanavyomkubali hadi wanamfuata uwanjani na kumtunza jezi.

Tupo pamoja tukikirudi 'kiduku na Malewa style' licha ya kutocheza kwa kuwa na kadi mbili za njano Mrisho Ngasa alijumuika kunyimwaga na wenzake.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.