ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 25, 2010

ROBERT CUP LAKE ZONE BASKETBALL LEAGUE YAMALIZIKA.

KUSHOTO NI BUTIMBA SPIDERS, KULIA MWEMBENI TOKA MUSOMA KATIKA MECHI YA UFUNGUZI.
Fainali za ROBERT CUP LAKE ZONE BASKETBALL LEAGUE zimefanyika jana katika uwanja wa chuo cha ualimu butimba, game hizi zimefanyika baada ya ligi ya mpira wa kikapu ya Robert cup mkoa kumalizika wiki iliyopita na kupata timu 4 kutoka Mwanza zilizoingia hatua ya ligi ya kanda ya ziwa kuungana na bingwa mtetezi wa mwaka jana na timu zingine tatu kutoka mikoa ya shinyanga, Mara na Kagera.
MGENI RASMI WAZIRI MTEULE WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENCIA MUGOZI KABAKA.
Ligi hiyo ilijumuisha jumla ya timu 9 hapa mwanza na timu ya bugando warrious kufanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa ikifuatiwa na bugando heat na tatu ilikuwa butimba spiders, zingine zilikuwa ni st. francis, dolphin pasiansi, SAUT, young saut, young spiders,
Timu nne za juu, warrious, heat, spiders, saut ziliingia hatua ya kanda pamoja na bingwa mtetezi bugando planet, risasi toka shy, kagera combine n a mwembeni musoma.
mgini rasmi alikuwa mlezi wa chama mh. Gaudencia mugosi Kabaka mlezi wa chama cha mpira wa kikapu mkoa.


BINGWA WA MKOA
1. bugando warious - kikombe, medali na sh. laki moja
2. bugando heat - kikombe, medali na 75000
3. butimba spiders- kikombe na 50000
4. mfungaji bora - victor zacharia(heat) - trouphy
5. mchezaji bora(mvp) - eric john (warious) - troughy


BINGWA WA KANDA
1. bugando heat - kikombe, medali, na sh. laki 2
2. bugando warious - kikombe, medali na 1500000
3. bukoba combine - kikombe na 100000
4. mfungaji bora - victor zacharia
5. mvp - ernest shija richard (warious)
Mashindandano yalidhaminiwa na kampuni ya MOIL na familia ya Mama G. kabaka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.