BW. STAREHE PENDAEL MUSHI AL-MAARUFU KWA JINA LA MC BONKE WA JIJINI MWANZA ANATOA TAARIFA ZA MSIBA WA MAMA YAKE MPENDWA SCHOLASTICA MANGALE (PICHANI) AU MAMA PENDAEL ALIYEFARIKI DUNIA USIKU WA TAREHE 12.08.2010.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA JUMATATU YA TAREHE 16.08.2010 SHAMBANI KWAO MIYUJI DODOMA MJINI.
HABARI ZIWAFIKIE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI. BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.