IMEZOELEKA KWA WENGI KTK MATEMBEZI,MASHOPING NA KADHALIKA KUTEMBEA NA MBWA & PAKA au BATA (niliishuhudia ktk Fiesta). SASA HII KALI NILIIFUMA JANA KWA JAMAA MMOJA ALIYEKUJA KWA MKWARA BENKI KUWEKA FEDHA. AKIHOFU KUFANYA USUMBUFU NDANI YA BENKI (ILE MEEE! MEEE!) AKATINGA ENEO HILO, KISHA AKAMFUNGA MBUZI WAKE PALE PALE KWENYE KIBARAZA CHA UZIO TUNAPOPENDA KUKAA WAKATI TUKISUBIRI FOLENI YA ATM TUKAPIGWA STOP.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
WATANZAMIA TUMIENI FURSA KUPELEKA BIDHAA UINGEREZA
-
-Dkt. Kijaji: Watanzania tumieni fursa kupeleka bidhaa Uingereza.
Serikali imewashauri watanzania kutumia fursa ya mpango wa biashara wa Nchi
zinazoendelea...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.