M1 WA WASHINDI WA TIKETI ZA KWEA PIPA NA COCA COLA JOHN SITTA MASANJA(KUSHOTO)TOKA WILAYA YA NGUDU MKOANI MWANZA AKIPOKEA MFANO WA TIKETI TOKA KWA MDAU WA NYANZA BOTTLING COMPANY LTD DEUS KADIKO.
MSHINDI MWINGINE WA KWEA PIPA CHARLES MATHEUS TOKA SHY (KUSHOTO) NAE AKIPOKEA TOKA KWA MWAKILISHI WA COCA COLA BW. MAGINGA.
PICHA YA PAMOJA. WENGINE ZAIDI KUPATIKANA ENDELEA KUBANDUA VIZIBO NA KUCHUNGULIA.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.