NDANI YA STUDIO ZA CLOUDS FM MWANZA 88.1 KUTOKA KULIA NI MJUMBE WA KAMATI YA MAUDHUI YA TCRA DR.AMOS MWAKILASA, MWENYEKITI BIBI MARIA KASHONDA, MJUMBE WA KAMATI HIYO BW. WALTER BGOYA NA WENGINEO.
MIE NIKITOA UFAFANUZI KWA WADAU WA TCRA WALIPOTEMBELEA 88.1 MWANZA. PEMBENI ANAONEKANA BW. SAMADU ABDUL NA MENEJA WA TCRA KANDA YA ZIWA BW. ERASTO MBILINYI.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.