NGOMA INAENDELEA KUSONGA NA KILA INAKORINDIMA INAACHA SIMULIZI. KUWA MAKINI PINDI INAPOZURU MKOA UNAOISHI AU HATA UKIISIKIA MKOA WA JIRANI HIMA ISIKUPITE.
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine. Kuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii
RC TANGA ATOA NENO KWA WANUNUZI WA ZAO LA MWANI
-
*Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima
wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga
ambao ...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine.
ReplyDeleteKuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii